Friday, 6 November 2015

NEWS PAPERS TODAY

Kikwete Aaga Kwa Kusamehe Wafungwa 4,160

RAIS mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4,160 katika kuaga na kukabidhi madaraka ya Serikali kwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Dk Magufuli aliapishwa jana kuwa Rais wa Tano wa Tanzania katika sherehe zilizofana kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam huku Kikwete akimaliza miaka yake 10 ya kuongoza nchi kama ilivyoelekezwa na Katiba. Kwa...
Read More

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Nov 6

...
Read More

Thursday, November 5, 2015

Kazi Imeanza: Rais Magufuli Amteua George Masaju Kuwa Mwana Sheria Mkuu wa Serikali

Saa chache baada ya kuapishwa rasmi kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Magufuli ameanza kazi kwa kasi zaidi ambap leo hii ameanza kazi kwa kumteua mwanasharia mkuu na kuitisha bunge. Akizungumza na waandishi wa Habari kwa niaba ya serikali katika viwanja vya Ikulu Jijijini Dar es salaam katibu mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kuwa Rais Magufuli amaenza kazi  leo hii...
Read More

Picha 39 za Dr Magufuli Alivyokula Kiapo Cha Kuwa Rais Na Kukagua Gwaride Kwa Mara Ya Kwanza

...
Read More

Hotuba ya kwanza ya shukrani aliyotoa Rais Magufuli baada ya kuapishwa

John Pombe Joseph Magufuli (56) ameapishwa mapema leo kuwa Rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Baada ya kuapishwa na Jaji Mkuu wa Tanzania Jaji Othaman Chande Rais John Magufuli alitoa neno la shukrani kwa watanzania na kuwataka washindani wake saba waliokuwa wakichuana katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu kuweka  ...
Read More

Dkt. Magufuli Aapishwa Rasmi Kuwa Rais wa Jamhuri Ya Muungano Tanzania

Hatimaye, Dkt. John Magufuli ameapishwa rasmi na kuwa Rais wa serikali ya awamu ya Tano ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania akihitimisha rasmi uongozi wa serikali ya awamu ya nne iliyoongozwa na Rais mstaafu, Jakaya Kikwete.   Rais Magufuli na makamu wake Bi. Samia Suluhu wamekula kiapo leo katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam mbele ya viongozi...
Read More

Updates Toka Uwanja wa Uhuru Katika Sherehe za Kuapishwa Dr Magufuli

Leo  Rais  mteule  wa  awamu  ya  tano, Dk. John Magufuli anaapishwa  rasmi  ambapo  asubuhi  hii  viongozi  mbalimbali  wanaendelea  kuwasili  uwanja  wa  uhuru  kushuhudia  sherehe  hizi.   Watu  ni  wengi  sana, mvua  nayo  inanyesha  kuonyesha  ni ...
Read More

Mawaziri Waagizwa Kurejesha Ikulu Magari ya Serikali leo.

Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue, amewaagiza  Mawaziri na Naibu Mawaziri leo kurudisha magari ya serikali baada ya Rais Mteule, Dk. John Magufuli kuapishwa kwa kuwa ndiyo siku yao ya ukomo wa uongozi. Jana Balozi Sefue alisema baada ya Bendera ya Rais kuteremshwa na kabla Bendera ya Rais mpya kupandishwa, magari ya mawaziri na Naibu Mawaziri, yatabadilishwa namba kwa kuondoa herufi ya...
Read More

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Nov.5

...
Read More

Tanzania Ya VIWANDA Kuanza Rasmi Leo...... Dunia Kushuhudia Kiapo Cha Magufuli

Hatimaye Tanzania inatarajia kuanza safari mpya ya mabadiliko ya kweli masaa machache yajayo baada ya Rais Mteule Dkt. John Magufuli kuapishwa jijini Dar es Salaam, zoezi litakalo hitimisha uongozi wa Rais Jakaya Kikwete. Kuapishwa kwa Dkt. Magufuli kutafungua ukarasa mpya wa Tanzania ya Viwanda aliyoiahidi katika kila jukwaa alilopanda kuwaomba kura watanzania katika maeneo mbalimbali, “Tanzania...
Read More

T.B Joshua Akutana na UKAWA Kwa Lowassa

Muhubiri wa Kimataifa kutoka nchini Nigeria, T. B. Joshua (shati la miraba), akizungumza jambo na wenyeji wake, aliekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA kupitia mwamvuli wa UKAWA, Edward Lowassa na viongozi wakuu wa UKAWA,Freeman Mbowe,  James Mbatia pamoja na mwanasiasa mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, wakati alipofika nyumbani kwa Lowassa, Masaki jijini...
Read More

Wednesday, November 4, 2015

Mbowe: UKAWA na wapenda Mabadiliko, Hatutahudhuria Sherehe za Kuapishwa Dr. Magufuli

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Freeman Mbowe amesema kuwa hawatashiriki shughuli ya kuapishwa kwa Dk. John Pombe Magufuli inayotarajiwa kufanyika Alhamis, Novemba 5, 2015. Kauli hiyo ya Mwenyekiti Mbowe aliyoitoa leo, imekuja wakati kukiwa bado kuna sintofahamu...
Read More

Jukwaa la Wahariri Walaani Tukio la Kuzomewa Dk Reginald Mengi na Wafuasi wa CCM

JUKWAA la Wahariri (TEF), limelaani kitendo cha kuzomewa na kudhalilishwa kwa waandishi wa habari wa ITV, katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Dar es Salaam, Oktoba 30 mwaka huu. Akizungunza na waandishi wa habari Katibu wa Jukwaa hilo, Neville Meena amesema kuwa kitendo hicho si cha kukaliwa kimya kutokana na kukwaza utendaji wa kazi na kudhalilisha utu wa waandishi hao mbele ya jamii. Meena...
Read More

Asimilia 82 ya Wanafunzi Wakosa Mikopo 2015/16

Zaidi ya wanafundi 50,000 watashindwa kuendelea na masomo ya elimu ya juu kutokana na kushindwa kupata mikopo kutoka katika Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB). Hayo yamebainika ikiwa ni siku tatu tangu HESLB kutoa majina ya wanafunzi waliofanikiwa kupata mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016, huku idadi kubwa ikiwa haimo katika majina hayo. Katika mwaka huu wa masomo bodi ya mikopo imeweza...
Read More

Wema Sepetu Amtusi Diamond Baada Ya Kununua Gari La Milioni 200 ( Range Rover )

Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ ameangusha bethidei baab’kubwa ambayo imesheheni kufuru ya aina yake na ‘kumtusi’ hadharani mpenzi wake wa zamani, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwa kumsema kuwa ni mtu wa kununua magari ya bei rahisi hivyo hawezi kuifikia hadhi yake. Sherehe hiyo iliyosheheni mastaa kibao Bongo, ilifanyika katika ukumbi wa Wema Sepetu uliopo ndani ya jengo la Millenium Towers, Kijitonyama...
Read More

Rais Kikwete Afanya Mazungumzo na Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif - Ikulu ya Dar

Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania amefanya mazungumzo na makamu wa rais wa kwanza kisiwani Zanzibar ambaye ndiye mgombea Urais kupitia tiketi ya chama cha upinzani (CUF) Maalim Seif katika Ikulu Jijini Dar es Salaa...
Read More

Kesho Alhamisi, Novemba 5, Ni Sikuu Na Mapumziko.......Rais Kikwete ametangaza Mapumziko ili Kuikaribisha Serikali Mpya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameamua na ameitangaza kesho, Alhamisi, Novemba 5, mwaka huu, 2015, kuwa Sikukuu na siku ya mapumziko. Rais Kikwete amefanya uamuzi huo, ili kuwawezesha Watanzania kushiriki katika sherehe za kuhitimisha Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne na kuingizwa madarakani Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuwa...
Read More

No comments:

Post a Comment

Popular Posts